Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 28:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Halafu wale walinzi wa kaburi wakaogopa sana na kutetemeka, hata wakakuwa kama wamekufa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 28:4
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nikashikwa na hofu na kutetemeka; mifupa yangu yote ikagonganagongana.


Lakini walipouona Sayuni, wakashangaa; wakashikwa na hofu na kukimbia.


Mimi Danieli peke yangu niliona maono hayo. Wale watu waliokuwa pamoja nami hawakuyaona, lakini walishikwa na hofu sana, wakakimbia, wakajificha.


Wale wanawake walipokuwa wakienda, waaskari wamoja kati ya wale waliochunga kaburi wakaenda katika muji na kuwapasha wakubwa wa makuhani habari za mambo yote yaliyotokea.


Yeye aliangaa kama umeme na nguo yake ilikuwa nyeupe sana.


Yule malaika akawaambia wale wanawake: “Musiogope, kwa maana ninajua ya kama munamutafuta Yesu aliyetundikwa juu ya musalaba.


Basi yule mulinzi akaomba wamuletee taa, akarukia mbio ndani, akajitupa mbele ya Paulo na Sila, akitetemeka kwa hofu.


Wakati nilipomwona, nikaanguka chini kwa rafla mbele yake kama vile mufu. Lakini akaweka mukono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope! Mimi ni wa kwanza na wa mwisho.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ