Matayo 28:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20023 Yeye aliangaa kama umeme na nguo yake ilikuwa nyeupe sana. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Nilipokuwa nikiendelea kuangalia, nikaona viti vya kifalme viliwekwa hapo, kisha Muzee mumoja wa zamani sana akakuja, akaikaa. Alikuwa amevaa nguo nyeupe kama teluji; nywele zake zilikuwa kama sufu safi. Kiti chake cha kifalme kilikuwa ndimi za moto, na magurudumu ya kiti kile yalikuwa moto unaowaka.