Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 28:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Wakubwa wa makuhani wakakutana pamoja na wasimamizi wa watu na kukata shauri. Wakawapa wale waaskari feza nyingi

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 28:12
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wafarisayo wakaondoka pale na kwenda kufanya shauri la kumwua Yesu.


Wale wanawake walipokuwa wakienda, waaskari wamoja kati ya wale waliochunga kaburi wakaenda katika muji na kuwapasha wakubwa wa makuhani habari za mambo yote yaliyotokea.


wakiwaambia: “Mutasema kwamba wanafunzi wake walikuja kuiba maiti yake usiku wakati mulipokuwa mukilala usingizi.


Basi wakubwa wa makuhani na Wafarisayo wakakusanya Baraza yao Kubwa, na kusema: “Tufanye nini kwa kuona mutu huyu anaonyesha vitambulisho vingi?


Wajumbe wa baraza wakakubali shauri la Gamalieli. Halafu wakawaita mitume, wakawapiga fimbo na kuamuru wasifundishe tena kwa jina la Yesu. Kisha wakawaacha kwenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ