Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 27:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Ni kutokana na mambo hayo yote shamba lile linaitwa “Shamba la Damu” hata leo.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 27:8
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa sababu miti ile ilikuwa mirefu sana, incha zake ziliweza kuonekana kutoka Pahali Patakatifu mbele ya chumba cha ndani, lakini haikuweza kuonekana kutoka upande wa inje. Miti ile ingali pahali pale hata leo.


Basi walipokwisha kukata shauri, wakatumia zile feza kwa kununua shamba la Mufinyanzi, kusudi likuwe shamba la kuzikia wageni.


Basi wale waaskari walinzi wakapokea zile feza na kufanya sawa walivyoambiwa. Na habari hii ilienea katikati ya Wayuda mpaka leo.


Jambo hilo likajulikana na wakaaji wote wa Yerusalema, hata wakaita shamba lile katika luga yao “Akeldama,” maana yake, “Shamba la Damu.”)


Alizikwa katika bonde la Moabu, kuelekea muji wa Beti-Peori; lakini mpaka leo, hakuna mutu anayejua pahali alipozikwa.


Yoshua akasimika vilevile mawe kumi na mawili katikati ya muto Yordani, pahali pale miguu ya makuhani waliobeba lile Sanduku la Agano iliposimama. Mawe hayo yako kule mpaka hivi leo.


Mutu yule akahamia katika inchi ya Wahiti, kule akajenga muji ambao aliuita Luzi, na muji huo unaitwa hivyo mpaka leo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ