65 Pilato akawajibu: “Muko na waaskari walinzi. Muende kuchunga kaburi kwa kadiri munavyoweza.”
wakati ulipoinuka kutimiza hukumu, kuwaokoa wote wanaoteswa katika dunia.
Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.
Basi uamuru kaburi lichungwe mpaka zile siku tatu nyuma ya kufa kwake zitakapotimia, kusudi wanafunzi wake wasifike kuiba maiti yake na kuwaambia watu kwamba amefufuka.”
Basi wakaenda, wakatia muhuri juu ya lile jiwe, na wakaweka waaskari pale kwa kulichunga.