Matayo 27:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Wakubwa wa makuhani wakaokota zile feza na kusema: “Kufuatana na Sheria yetu hairuhusiwi kuweka feza kama hizi ndani ya sanduku ya hekalu kwa sababu feza hizi ni za damu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |