Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 27:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 Yuda akatupa vile vikoroti ndani ya hekalu, naye akaondoka na kwenda kujitundika.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 27:5
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ahitofeli alipoona kwamba shauri lake halikufuatwa, alitandika punda wake, akaenda kwake, kwenye muji wake. Alipofika kule, alipanga vizuri mambo ya nyumba yake, akajitundika. Akakufa na kuzikwa kwenye kaburi la baba yake.


Simuri alipoona kwamba muji umekamatwa, akaingia katika munara, ndani ya nyumba ya kifalme, akaichoma kwa moto, naye akakufia mule.


Muke wake akamwambia: “Unaendelea kushikilia ukamilifu wako? Umutukane Mungu, ukufe.”


hata ninaona afazali kutundikwa, ninaona heri kufa kuliko kupata mateso haya.


Utue muzigo wako kwa Yawe, naye atakusaidia; hamwachilii mutu wa haki ashindwe.


na kusema: “Mutu huyu alisema kwamba anaweza kubomoa hekalu la Mungu na kulijenga tena kwa muda wa siku tatu.”


Wakubwa wa makuhani wakaokota zile feza na kusema: “Kufuatana na Sheria yetu hairuhusiwi kuweka feza kama hizi ndani ya sanduku ya hekalu kwa sababu feza hizi ni za damu.”


Kwa muda wote watu wale walipokuwa inje, wakimungojea Zakaria, wakashangaa kwa kuona anakawia ndani ya hekalu.


Na kama ilivyokuwa desturi ya makuhani, yeye alichaguliwa kwa njia ya kupiga kura kwa kuingia ndani ya hekalu la Bwana, kusudi achome ubani.


Kisha Abimeleki akamwita haraka kijana wake aliyemubebea silaha akamwambia: “Twaa upanga wako uniue, watu wasipate kusema kwamba niliuawa na mwanamuke.” Kijana akatwaa upanga wake, akamuchoma na kumwua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ