47 Na watu wamoja waliosimama pale walipomusikia wakasema: “Anamwita Elia.”
Na ikiwa munasadiki, Yoane ndiye nabii Elia aliyepaswa kuja.
Ilipokuwa karibu saa tisa, Yesu akalalamika akisema: “Eli, Eli, lama sabaktani,” maana yake, “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”
Mara moja, mumoja wao akaenda mbio akatwaa kikausho, akakichovya ndani ya divai yenye kuchacha. Akakifungia juu ya tete, akakipandishia Yesu, kusudi apate kunywa.