Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 27:38 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

38 Vilevile wanyanganyi wawili walitundikwa juu ya misalaba pamoja na Yesu, mumoja kwa upande wake wa kuume na mwingine kwa upande wa kushoto.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 27:38
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo nitamugawanyia sehemu pamoja na wakubwa, atagawanya vitu vilivyotekwa pamoja na wenye nguvu. Alijitoa yeye mwenyewe hata kufa; aliwekwa kundi moja na watu wakosaji. Alizibeba zambi za watu wengi, akawaombea musamaha hao wakosaji.


Juu ya kichwa chake wakaweka tangazo hili kwa kuonyesha sababu ya kuhukumiwa kwake: “Huyu ndiye Yesu, Mufalme wa Wayuda.”


Watu waliokuwa wakipita pale walimutukana, na kutikisatikisa vichwa vyao,


Hata wale wanyanganyi waliotundikwa pamoja naye walimutukana vilevile.


Vilevile waliwatundika wanyanganyi wawili juu ya misalaba pamoja na Yesu, mumoja kwa upande wake wa kuume na mwingine kwa upande wa kushoto. [


Kwa maana ninawaambia, ni lazima yatimie kwangu maneno haya yaliyoandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Naye alihesabiwa pamoja na watenda maovu.’ Kwa sababu yanayonielekea mimi yanafikia kwa mwisho wake.”


Waaskari wakamutundika Yesu juu ya musalaba kule pamoja na watu wengine wawili, mumoja kila upande na Yesu katikati.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ