Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 27:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Lakini wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakawashawishi wale waliokusanyika kwamba waombe Baraba afunguliwe, naye Yesu auawe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 27:20
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Basi Yeremia alipomaliza kutangaza mambo yote ambayo Yawe aliyomwamuru kutangaza kwa watu wote, makuhani, manabii na watu wote walimukamata na kusema: Wewe unapaswa kuuawa!


Liwali akawauliza: “Munataka niwafungulie nani kati ya watu hawa wawili?” Nao wakamujibu: “Utufungulie Baraba.”


Lakini wakubwa wa makuhani wakawachochea watu wamwombe Pilato awafungulie Baraba.


Halafu wakalalamika kwa nguvu: “Hatutaki mutu huyu! Tunataka utufungulie Baraba!” (Yule Baraba alikuwa munyanganyi.)


Na kila siku ya Sabato, Paulo alibishana na Wayuda na Wagriki katika nyumba ya kuabudia na kuwashinda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ