Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 27:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 lakini hakujibu neno. Halafu Pilato akamwuliza tena: “Hausikii mambo haya yote wanayokushitakia?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 27:13
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuhani Mukubwa akasimama na kumwuliza Yesu: “Haujibu hata neno? Watu hawa wanakushitakia nini?”


Na kisha wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakamushitaki,


Lakini Yesu hakumujibu hata juu ya neno moja, hata yule liwali akashangaa sana.


Pilato akajibu: “Mimi si Muyuda. Watu wa taifa lako na wakubwa wa makuhani ndio waliokuleta kwangu. Umefanya nini?”


Yule mukubwa wa jeshi akaamuru waaskari wamupeleke Paulo katika upango wao. Akaamuru vilevile wamupige fimbo, kusudi apate kujua sababu gani watu walilalamika vile kwa ajili yake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ