71 Petro alipotoka inje kwa mulango wa upango, mutumishi mwingine mwanamuke akamwona na kuwaambia wale waliokuwa pale: “Huyu alikuwa pamoja na Yesu wa Nazareti.”
Kule akakaa katika muji ulioitwa Nazareti, kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya manabii: “Ataitwa mutu wa Nazareti.”
Lakini akakana mbele ya wote waliokuwa pale, akisema: “Sijui maneno unayotaka kusema.”
Lakini Petro akakana tena akaapa akisema: “Ninaapa ya kuwa simujui mutu huyu!”
Nyuma kidogo mutu mwingine akamwona, na akasema: “Wewe vilevile ni mumoja wao!” Lakini Petro akamujibu mutu yule: “Mimi si mumoja wao.”