Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 26:66 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

66 Munawaza nini?” Nao wakajibu: “Anastahili kufa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 26:66
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe awalipe hayo hao watu wanaonishitaki, hao wanaosema mabaya juu yangu.


Kisha makuhani na manabii wakawaambia wakubwa na watu wote: Mutu huyu anastahili hukumu ya kifo, kwa maana ametabiri juu ya muji huu, kama vile ninyi wenyewe mulivyosikia kwa masikio yenu.


Wayuda wakamujibu: “Kufuatana na moja ya sheria zetu, mutu huyu anapaswa kuuawa, kwa sababu alijiita Mwana wa Mungu.”


Ni nani kati ya manabii ambaye babu zenu walikosa kumutesa? Waliwaua wale waliotabiri zamani habari za kuja kwa Mwenye Haki. Na sasa mumemutoa na kumwua.


“Kama mutu amefanya kosa linalomupasa auawe na akiuawa kwa kutundikwa juu ya muti,


Mumewahukumu na kuwaua wenye haki, nao hawakupingana nanyi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ