57 Wale waliomukamata Yesu wakamupeleka kwa Kuhani Mukubwa Kayafa, pahali walimu wa Sheria na wasimamizi wa watu walipokuwa wamekusanyika.
Wakubwa wa makuhani na wasimamizi wa watu wakakusanyika ndani ya nyumba ya Kuhani Mukubwa, aliyeitwa Kayafa,
Halafu mumoja kati yao, jina lake Kayafa, aliyekuwa Kuhani Mukubwa mwaka ule, akasema: “Hamujui kitu, ninyi!