51 Na mumoja wa wale waliokuwa pamoja na Yesu akachomoa upanga wake, akamupiga mutumishi wa Kuhani Mukubwa, akamukata sikio.
Lakini Petro akamwambia: “Hata ikinipasa kufa pamoja nawe, sitakukana hata kidogo.” Na wanafunzi wote wengine wakasema sawasawa naye.
Lakini mumoja kati ya wale waliokuwa pale, akachomoa upanga wake na kumukata mutumishi wa Kuhani Mukubwa sikio.
Lakini Yesu akawageukia na kuwakaripia.
Yesu akajibu: “Ufalme wangu si wa dunia hii. Ufalme wangu ungekuwa wa dunia hii, watumishi wangu wangenipigania kusudi nisitolewe kwa Wayuda. Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa katika dunia.”
Silaha tunazotumia katika vita si za kimwili, lakini silaha zetu ni uwezo wa Mungu unaoweza kuharibu upango wa adui. Tunaharibu mawazo ya uongo na