Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 26:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

41 Mukeshe na muombe, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 26:41
34 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Heri watu wanaoishi katika ukamilifu, wanaofuata sheria ya Yawe.


Muondoke kwangu, enyi waovu, kusudi nipate kushika amri za Mungu wangu.


Unishike nipate kuwa salama, nikuwe siku zote musikilivu kwa masharti yako.


Nitafuatilia amri zako, maana unanifungua akili zaidi.


Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku Bwana wenu atakaporudi.


Na Yesu akaongeza kusema: “Basi mukeshe, kwa sababu hamujui siku wala saa ile.


Halafu akawaambia: “Ninahuzunika sana, karibu kufa! Mubakie hapa na mukeshe pamoja nami.”


Usituache kuanguka katika majaribu, lakini utuokoe na yule Mwovu. [Kwa maana ufalme, uwezo na utukufu ni vyako hata milele. Amina.]’


Mukeshe na kuomba, kusudi musianguke katika majaribu; kwa maana roho ni hodari, lakini mwili ni zaifu.”


Utusamehe zambi zetu, maana sisi vilevile tunawasamehe wote wanaotukosea, usituache kuingia katika majaribu.’ ”


Basi mukeshe na kuomba kila wakati, kusudi mupate nguvu ya kuepuka mambo hayo yote yatakayotokea, nanyi mupate kuweza kusimama mbele ya Mwana wa Mutu.”


Alipofika kwenye nafasi ile, akawaambia: “Muombe kusudi musianguke katika majaribu.”


Akawaambia: “Sasa, ninyi munalala? Muamuke na muombe, kusudi musianguke katika majaribu.”


Udongo wenye mawe pahali mbegu zilipoanguka ni mufano wa watu wanaosikia neno na kulipokea kwa furaha, lakini halizami ndani yao kama mizizi. Wanaliaminia kwa muda mufupi tu, nayo majaribu yanapowafikia, wanaliacha.


Mungu alitimiza mambo yale Sheria ya Musa iliyoshindwa kuyatimiza, kwa sababu ya ukosefu wa nguvu unaotokana na hali zaifu ya kimwili. Mungu alitoa hukumu juu ya zambi inayotawala mwili kwa kutuma mwana wake wa peke katika hali ya kimutu, mwenye hali zaifu ya zambi kwa ajili ya kuondoa zambi.


Majaribu yale munayopata, ni yale yanayowapata watu wengine wote. Mungu hatawaachilia kujaribiwa kupita nguvu zenu, kwa maana yeye ni mwaminifu. Jaribu litakapowatokea, atawapatia nguvu ya kulivumilia, hata muweze kulishinda.


Mukeshe, musimame imara katika imani, mukuwe hodari na wenye nguvu.


Lakini ninatesa mwili wangu kwa mazoezi makali na kuutumikisha vikali kusudi mimi mwenyewe nisikataliwe kisha kutangaza ujumbe kwa watu wengine.


Nao watu wa Kristo Yesu wameua hali yao ya kimutu pamoja na vifungo vyao vyote na tamaa zote mbaya.


Mumwombe Mungu kila wakati mukiongozwa na Roho. Mumwombe na kumusihi kwa kila namna. Kwa hiyo mukeshe bila kuchoka mukiwaombea watu wote wa Mungu.


Mwisho wa vitu vyote unakaribia kutimia. Kwa hiyo mukuwe wenye akili na waangalifu, kusudi mukuwe na uwezo wa kuomba.


Mukuwe waangalifu na mukeshe, kwa maana adui yenu Shetani anazungukazunguka kama simba anayenguruma akitafuta yule atakayerarua.


Basi, ni kusema kwamba Bwana anajua namna ya kuwaokoa wenye kumwogopa katika majaribu. Lakini anangojea kuwaazibu watu wabaya kwa Siku ile ya hukumu.


“Sikiliza, ninakuja kwa saa isiyozaniwa kama vile mwizi. Heri yule anayekesha na kutunza nguo zake vizuri kusudi asitembee uchi na kujifezehesha mbele ya watu.”


Kufuatana na vile ulivyojichunga katika uvumilivu sawa nilivyokuagiza, mimi vilevile nitakuchunga na hasara wakati itakapokuja katika dunia yote kwa kuwajaribu wakaaji wake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ