Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 26:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Lakini nitakapokwisha kufufuka, nitawatangulia Galilaya.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 26:32
13 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Tangia wakati ule Yesu akaanza kuwaambia wanafunzi wake waziwazi kwamba ni sherti kwake kwenda Yerusalema, ateswe kule na wasimamizi wa watu, wakubwa wa makuhani na walimu wa Sheria, auawe, na kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.


na kumutoa katika mikono ya watu wa mataifa mengine. Nao watamuchekelea, watamupiga fimbo na kumutundika juu ya musalaba. Lakini kwa siku ya tatu kisha kufa kwake, atafufuka.”


Petro akamujibu: “Hata wote wakianguka, mimi sitaanguka hata kidogo.”


Kisha Yesu akawaambia: “Musiogope, muende kuwaambia wandugu zangu waende Galilaya, na kule wataniona.”


Halafu wale wanafunzi kumi na mumoja wakaenda Galilaya kwa mulima ule Yesu aliowaagiza.


Lakini nitakapokwisha kufufuka, nitawatangulia Galilaya.”


Muende sasa kupasha habari kwa wanafunzi wake na kwa Petro, muwaambie kwamba anawatangulia Galilaya; nao watamwona kule sawa vile alivyowaambia.”


Nyuma aliwatokea waamini zaidi ya mia tano pamoja, na wengi kati yao wangali wanaishi mpaka sasa, lakini wachache wamekwisha kufa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ