Matayo 26:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200231 Halafu Yesu akawaambia wanafunzi wake: “Usiku huu ninyi wote mutaanguka kwa ajili yangu, kwa maana imeandikwa hivi katika Maandiko Matakatifu: ‘Nitamwua muchungaji, na kondoo wa kundi watasambazwa.’ အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |