19 Nao wanafunzi wakafanya sawa Yesu alivyowaagiza, wakatayarisha karamu ya Pasaka.
Basi wale wanafunzi wakaenda, nao wakafanya sawa Yesu alivyowaagiza.
Yesu akawaambia kwamba waende katika muji kwa mutu mumoja na kumwambia: “Mwalimu anasema: ‘Siku yangu inakaribia. Mimi na wanafunzi wangu tutakula karamu ya Pasaka kwako.’ ”
Ilipokuwa magaribi, Yesu akaikaa kula chakula pamoja na wanafunzi wake kumi na wawili.
Ninyi ni warafiki zangu, kama mukifanya sawa ninavyowaagiza.
Halafu mama yake akawaambia watumishi: “Mufanye kila kitu atakachowaambia.”