Siku ya kwanza ya karamu ya sikukuu ya Mukate Usiotiwa Chachu, wanafunzi wakamwendea Yesu na kumwuliza: “Ni wapi unapotaka tukutayarishie karamu ya Pasaka?”
Lakini Paulo alipokuwa akihubiri juu ya haki, juu ya kujizuiza na juu ya siku ya hukumu ya Mungu itakayokuja, Feliki akaogopa na kumwambia: “Kwa sasa unaweza kujiendea. Nitakuita tena nitakapopata wakati.”
Kwa ngambo ya ndugu yetu Apolo, nimemusihi sana akuje kwenu pamoja na wandugu wengine, lakini hakutaka kabisa kwenda sasa; atakwenda kwa wakati utakaomupendeza.