Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 25:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Lakini wale wenye akili wakajibu: ‘Haiwezekani, mafuta tunayokuwa nayo hayatutoshelei. Afazali muende kwa wachuuzi na kujinunulia yenu.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 25:9
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yawe akaniambia: Hata kama Musa na Samweli wangesimama mbele yangu na kunisihi, singewahurumia watu hawa. Uwaondoe kabisa mbele yangu. Uwaache waende!


Na hata kama Noa, Daneli na Yobu wangelikuwa ndani ya inchi ile, kama vile ninavyoishi, –ni ujumbe wa Bwana wetu Yawe– hawangeweza kuwaokoa hata mwana au binti. Wangeyaokoa tu maisha yao wenyewe kwa ajili ya haki yao.


“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


Watano kati yao walikuwa wajinga na watano walikuwa wenye akili.


Wale wajinga wakawaambia wenye akili: ‘Mutusaidie na mafuta kidogo, kwa sababu taa zetu zinaanza kuzimika.’


“Basi kila mutu anayesikia hayo maneno yangu na kuyashika, anafananishwa na mutu mwenye akili aliyejenga nyumba yake juu ya jiwe.


Basi ugeuke toka katika zambi zako na umwombe Bwana, labda atakusamehe kwa ajili ya mawazo ya namna hii.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ