Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 25:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Wale wajinga wakawaambia wenye akili: ‘Mutusaidie na mafuta kidogo, kwa sababu taa zetu zinaanza kuzimika.’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 25:8
18 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kweli, mwangaza wa mutu mwovu utazimishwa; ulimi wa moto wake hautaangaa.


Mara ngapi umepata kuona mwangaza wa maisha ya mwovu umezimishwa na kupatwa na hasara? Au Mungu amekwisha kuwaangamiza kwa hasira yake?


Watu waovu wanategemea mali zao, wanajisifia wingi wa utajiri wao.


Mwenye haki anaangaa kama vile taa inayowaka vizuri, lakini waovu ni kama taa inayozimika.


Anayemulaani baba yake au mama yake, mwangaza wa uzima wake utazimika kama taa katika giza.


“Halafu kwa wakati ule, Ufalme wa mbinguni utafanana na wabinti kumi waliotwaa taa zao na kwenda kumupokea bwana-arusi.


Halafu wale wabinti kumi wakaamuka, wakatengeneza taa zao.


Lakini wale wenye akili wakajibu: ‘Haiwezekani, mafuta tunayokuwa nayo hayatutoshelei. Afazali muende kwa wachuuzi na kujinunulia yenu.’


Musijifikiri kwamba munaweza kujidai tu kuwa Abrahamu ndiye babu yenu. Ninawaambia kwamba Mungu anaweza kugeuza mawe haya kuwa watoto wa Abrahamu!


“Mukuwe tayari kwa kutumika na kuacha taa zenu zikiwaka.


Basi akalalamika, akisema: ‘Baba Abrahamu, unisikilie huruma; umutume Lazaro achovye incha ya kidole chake katika maji, anipoleshe ulimi wangu, kwa sababu ninateswa sana katika moto huu.’


“Basi mufanye angalisho na jinsi munavyosikia maneno. Kwa maana mutu anayekuwa na kitu, ataongezewa kingine, lakini mutu asiyekuwa na kitu, atanyanganywa kile anachozania kuwa nacho.”


Halafu Simoni akawaambia Petro na Yoane: “Muniombee ninyi wenyewe kwa Bwana, kusudi lisinipate hata neno moja kati ya maneno haya muliyosema.”


Basi kwa kuwa tungali na ahadi ya kuingia kwenye mapumziko yale, basi tufanye angalisho kusudi katikati yenu kusikuwe hata mutu mumoja atakayekosa kuingia.


Angalia, nitakupa watu wa kikundi chenye kuabudu Shetani, ndio wale wasema uongo wanaojidai kwamba wao ni Wayuda, lakini ni wadanganyifu. Hakika nitawalazimisha kupiga magoti mbele yako, nao watajua ya kuwa mimi ninakupenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ