7 Halafu wale wabinti kumi wakaamuka, wakatengeneza taa zao.
“Halafu kwa wakati ule, Ufalme wa mbinguni utafanana na wabinti kumi waliotwaa taa zao na kwenda kumupokea bwana-arusi.
“Ilipokuwa katikati ya usiku, kelele likasikilika, likisema: ‘Angalia, bwana-arusi anakuja! Muondoke kwenda kumupokea!’
Wale wajinga wakawaambia wenye akili: ‘Mutusaidie na mafuta kidogo, kwa sababu taa zetu zinaanza kuzimika.’
“Mukuwe tayari kwa kutumika na kuacha taa zenu zikiwaka.
Kwa sababu hiyo, wapendwa wangu, mukiwa munangojea mambo yale, mufanye bidii apate kuwakuta safi bila kosa lolote na mukae na amani pamoja naye.
Amuka! Uimarishe kile kinachobaki kinachokaribia kufa, kwa maana nimeona kwamba matendo yako si makamilifu mbele ya Mungu wangu.