Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 25:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Wale wajinga walitwaa taa zao tu, lakini hawakupeleka mafuta ya kutia ndani yao.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 25:3
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Anatambua kwamba shuguli zake zina faida; anafanya kazi hata usiku kwa mwangaza wa taa yake.


Kila siku wananitafuta, wanatamani kujua njia zangu, kama vile wao ni taifa linalotenda haki, taifa lisilosahau agizo la Mungu wao. Wanataka niamue kwa haki, na kutamani kuikaa karibu na Mungu.


huyo anapoona waadui wanakuja, atapiga baragumu na kuwaonya watu.


“Halafu kwa wakati ule, Ufalme wa mbinguni utafanana na wabinti kumi waliotwaa taa zao na kwenda kumupokea bwana-arusi.


Watano kati yao walikuwa wajinga na watano walikuwa wenye akili.


Lakini wale wenye akili walitwaa machupa ya mafuta pamoja na taa zao.


Kwa inje watajionyesha kama watu wenye kushikamana na ibada, lakini wanazarau uwezo wake. Ujiepushe na watu hao.


Muangalie vizuri, kusudi hata mutu mumoja asijikoseshe mwenyewe kupata neema ya Mungu, wala asikuwe sawa shina la mumea unaotoa matunda machungu na kuleta fujo kati yenu na kuambukiza watu wengi.


“Umwandikie malaika wa kanisa la Sardi hivi: “Ujumbe huu unatoka kwa yule anayekuwa na roho zile saba za Mungu na zile nyota saba. Ninajua matendo yako, hakika wewe umekwisha kufa ingawa unajulikana kuwa muzima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ