Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 25:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Watano kati yao walikuwa wajinga na watano walikuwa wenye akili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 25:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ndani ya kikapu cha kwanza kulikuwa tini nzuri sana, kama vile tini za mavuno ya kwanzakwanza. Lakini ndani ya kikapu cha pili kulikuwa tini mbaya sana, mbaya hata hazifai kukuliwa.


“Muangalie! Ninawatuma kama kondoo katikati ya imbwa wa pori. Basi mukuwe waangalifu kama nyoka na wakamilifu kama njiwa.


“Basi ni nani anayekuwa mutumishi mwaminifu na mwenye akili? Ni yule bwana wake aliyemuweka kuwa musimamizi wa watumishi wake wengine na kumwamuru kuwapatia posho yao kwa wakati uliopangwa.


Wale wajinga walitwaa taa zao tu, lakini hawakupeleka mafuta ya kutia ndani yao.


Lakini wale wenye akili walitwaa machupa ya mafuta pamoja na taa zao.


Lakini wale wenye akili wakajibu: ‘Haiwezekani, mafuta tunayokuwa nayo hayatutoshelei. Afazali muende kwa wachuuzi na kujinunulia yenu.’


Watu hawa wametoka kati yetu, lakini hawakukuwa wa kundi letu, na kwa sababu hii wametuacha. Kama wangekuwa wa kundi letu, wangekaa pamoja nasi. Lakini wametuacha kusudi ionekane wazi ya kama hawakukuwa wa kundi letu.


Ijapokuwa mumekwisha kujua kabisa mambo haya yote, ninataka kuwakumbusha namna Bwana alivyowaokoa Waisraeli kutoka katika inchi ya Misri, lakini kisha, akawaangamiza wale waliokataa kuamini.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ