11 “Nyuma, hao wengine wakafika, na kuanza kusema: ‘Bwana, bwana, utufungulie!’
“Halafu kwa wakati ule, Ufalme wa mbinguni utafanana na wabinti kumi waliotwaa taa zao na kwenda kumupokea bwana-arusi.
Lakini bwana akajibu: ‘Kweli ninawaambia: mimi siwajui ninyi.’ ”
“Mwenye nyumba atakapokwisha kusimama na kufunga mulango, ninyi mutabaki inje na kuanza kupiga hodi na kusema: ‘Bwana, utufungulie.’ Naye atawajibu: ‘Sijui munatokea wapi.’