Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 24:51 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

51 Naye atamupiga vikali na atamwazibu sawa na watu wanafiki, akimuweka kwenye nafasi atakapolia na kusaga meno.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 24:51
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Hii ndiyo sehemu ya mutu mwovu kutoka kwa Mungu, ndio mwisho aliopangiwa na Mungu.


Wenye zambi katika Sayuni wanaogopa, wasiomwamini Mungu wanatetemeka na kusema: Nani anayeweza kuvumilia moto huu mukali? Nani anayeweza kuvumilia ndimi za moto usiozimika?


Yawe anasema: Hayo ndiyo yatakayokupata, ni hivi nilivyoamua kukutendea, kwa sababu umenisahau mimi na kutegemea miungu ya uongo. –Ni ujumbe wa Yawe.–


Halafu mufalme akawaambia watumishi wake: ‘Mumufunge mutu huyu miguu na mikono na kumutupa inje kwenye giza. Kule atalia na kusaga meno.’ ”


Basi bwana wa mutumishi yule atakuja siku asiyozania na saa asiyojua.


Na zaidi ya hii, mumutupe huyu mutumishi asiyekuwa na mafaa inje kwenye giza. Kule atalia na kusaga meno.’


Lakini wale waliopaswa kushiriki katika Ufalme ule watatupwa inje kwenye giza, na kule watalia na kusaga meno.”


Basi bwana wa mutumishi yule atakuja siku asiyozania, na saa asiyoijua. Naye atamupiga vikali na kumwazibu sawa na watu wasiokuwa waaminifu.


Na kule mutalia na kusaga meno, mutakapowaona Abrahamu, Isaka, Yakobo na manabii wote katika Ufalme wa Mungu. Lakini ninyi mutakuwa mumetupwa inje!


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ