Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 24:19 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

19 Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile!

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 24:19
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yonatani mwana wa Saulo alikuwa na mutoto aliyekuwa kilema wa miguu. Mutoto huyo aliitwa Mefiboseti. Mefiboseti alikuwa na umri wa miaka mitano wakati habari za kifo cha Saulo na Yonatani ziliposikilika kutoka Yezereheli. Kwa wakati ule, mulezi wake aliposikia kwamba Saulo na Yonatani waliuawa kule Yezereheli, akamukamata Mefiboseti na kukimbia naye. Lakini alipokuwa anakimbia kwa haraka, mutoto huyo alianguka na kuwa kilema.


Menahemu alipokuwa katika njia kutoka Tirza, aliuharibu kabisa muji wa Tapua na kuangamiza wakaaji wake pamoja na inchi yote iliyouzunguka kwa sababu hawakujitoa kwake. Vilevile akapasua tumbo za wanawake wenye mimba.


Wamama ambao wanakuwa na huruma kubwa, waliwapika watoto wao wenyewe, wakawafanya kuwa chakula chao, wakati watu wangu walipoangamizwa.


Basi wakamwuliza Yesu: “Unasikia maneno watoto hawa wanayoyasema?” Yesu akawajibu: “Ndiyo. Lakini hamujasoma Maandiko Matakatifu yanayosema: ‘Kwa vinywa vya watoto wadogo hata wale wanaokuwa wachanga umetangaza sifa zako.’ ”


Na mutu atakayekutiwa katika shamba, asirudi kwake kwa kutwaa nguo yake.


Mumwombe Mungu kusudi kukimbia kwenu kusikuwe wakati wa mvua au kwa siku ya Sabato!


Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile! Kwa maana kutakuwa taabu kubwa katika inchi, na Mungu ataonyesha kasirani yake juu ya watu wa taifa hili.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ