18 Na mutu atakayekutiwa katika shamba, asirudi kwake kwa kutwaa nguo yake.
Shida yako ni nini?” Akamujibu: “Juzi mwanamuke huyu alinishauria tumukule mwana wangu na kesho yake tutamukula wake.
Atakayekutiwa juu ya paa la nyumba asishuke ndani yake kwa kutwaa kitu.
Wanawake wenye mimba na wenye kunyonyesha watapata hasara katika siku zile!
“Siku ile, yule atakayekutiwa juu ya paa la nyumba, asishuke ndani yake kwa kukamata vitu vyake. Vilevile yule atakayekutiwa katika shamba, asirudie kwake.