Wewe unaonyesha mema yako kwa maelfu ya watu; lakini unawaazibu vilevile watu kwa sababu ya zambi za babu zao. Wewe ni Mungu Mukubwa, mwenye nguvu, Yawe wa majeshi ndilo jina lako.
Wanajikaza kutuzuiza tusitangaze Habari Njema kwa watu wa mataifa mengine kusudi wasiokoke. Hivi wanafikilia kwenye hatua ya mwisho ya zambi walizotenda siku zote. Lakini kwa mwisho kasirani ya Mungu imewaangukia.