1 Halafu Yesu akawaambia makundi ya watu na wanafunzi wake:
Kisha Yesu akaita tena kundi la watu na kuwaambia: “Ninyi wote munisikilize na kuelewa maneno haya.
Wakati ule ule makundi mengi ya maelfu ya watu walikusanyika hata wakakanyaganakanyagana. Yesu akaanza kwanza kusema na wanafunzi wake, akiwaambia: “Mufanye angalisho na chachu ya Wafarisayo, maana yake unafiki wao.
“Sababu gani ninyi wenyewe hamuwezi kujiamulia jambo la haki?