38 Hii ndiyo amri inayokuwa kubwa zaidi, na ya kwanza.
Yesu akamujibu: “ ‘Umupende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na kwa akili yako yote.’
Na ya pili inayofanana nayo ni hii: ‘Umupende mwenzako kama vile unavyojipenda mwenyewe.’
Sasa kwa kuona munajua jambo hili, mutakuwa wenye heri kama mukilifanya.