34 Wafarisayo waliposikia kwamba Yesu aliwafungisha Wasadukayo kinywa, wakakusanyika pamoja.
Wafarisayo wakaondoka pale na kwenda kufanya shauri la kumwua Yesu.
Yoane alipoona Wafarisayo wengi na Wasadukayo wakimufikia kwa kubatizwa, aliwaambia: “Ninyi kikundi cha nyoka! Ni nani aliyewaambia kwamba munaweza kuponyoka azabu ya Mungu inayokaribia?
Halafu mwalimu mumoja wa Sheria akasimama na kumwuliza Yesu kwa kumupima: “Mwalimu, nifanye nini kusudi nipate uzima wa milele?”