27 Nyuma ya kufa kwa wote saba, yule mwanamuke akakufa vilevile.
Na ikakuwa vile kwa ndugu wa pili na wa tatu na mpaka yule wa saba.
Sasa, siku wafu watakapofufuka, muke yule atakuwa wa nani, kwa maana wote saba walikuwa wamemwoa?”