25 Basi huku kwetu kulikuwa wandugu saba. Wa kwanza alioa mwanamuke, kisha akakufa bila kuzaa mutoto. Naye akamwachia ndugu yake yule mwanamuke.
Wakamwuliza: “Mwalimu, Musa alisema: ‘Mutu akikufa bila kuacha mutoto, ndugu yake anapaswa kumwoa yule mujane na kumuzalia marehemu watoto.’
Na ikakuwa vile kwa ndugu wa pili na wa tatu na mpaka yule wa saba.
Kila mutu anapaswa kufa mara moja tu, na nyuma ya kufa, anahukumiwa na Mungu.