20 Yesu akawauliza: “Sura hii na jina hili linaloandikwa hapa ni vya nani?”
Munionyeshe feza inayotolewa kwa kulipa kodi.” Basi wakamuletea kikoroti kimoja cha feza.
Wakamujibu: “Ni vya Mufalme wa Roma.” Halafu Yesu akawaambia: “Basi mumupe Mufalme wa Roma vinavyokuwa vyake, na Mungu vinavyokuwa vyake.”
Wakakileta kwake. Yesu akawauliza: “Sura hii na jina hili linaloandikwa hapa ni vya nani?” Wakamujibu: “Ni vya Mufalme wa Roma.”
“Munionyeshe kikoroti kimoja cha feza.” Kisha akawauliza: “Sura hii na jina hili linaloandikwa hapa ni vya nani?” Nao wakajibu: “Ni vya Mufalme wa Roma.”