Matayo 21:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Nalo kundi la watu waliomutangulia Yesu na lile la watu waliofuata nyuma yake, wakaanza kulalamika, wakisema: “Usifiwe wewe Mwana wa Daudi! Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana! Mungu asifiwe juu mbinguni!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |