Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 21:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Watu wengi wakatandika nguo zao katika njia, na wengine wakakata matawi ya miti na kuyatandika katika njia vilevile.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 21:8
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mara moja wakubwa wenzake wakavua nguo zao, wakazilundika pamoja kwenye ngazi kusudi asimame juu yake, wakapiga baragumu na kulalamika kwa sauti: “Yehu ni mufalme!”


Katika siku ya kwanza mutatwaa matunda ya miti yenu mizuri, matawi ya ngazi, matawi yenye majani mengi na matawi ya miti inayoota kandokando ya muto, nanyi mutafanya sikukuu mbele ya Yawe, Mungu wenu kwa siku saba.


Wakaleta punda pamoja na mwana-punda, wakatandika nguo juu yao na Yesu akaikaa juu ya nguo zile.


Watu wengi wakatandika nguo zao katika njia na wengine wakatandika matawi waliyokata katika mashamba.


Alipokuwa akiendelea, watu walitandika nguo zao katika njia.


Basi wakatwaa matawi ya ngazi na kwenda kumupokea, wakilalamika kwa sauti kubwa, wakisema: “Mungu asifiwe! Abarikiwe huyu anayekuja kwa jina la Bwana! Abarikiwe mufalme wa Waisraeli!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ