Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 21:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Mambo hayo yote yalitokea, kusudi yatimie maneno yaliyosemwa kwa njia ya nabii:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 21:4
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mushangilie sana enyi watu wa Sayuni! Mupige vigelegele, enyi watu wa Yerusalema! Angalia, mufalme wenu anawakujia, anakuja kwa shangwe na ushindi! Ni mupole, amepanda juu ya punda, juu ya mwana-punda, mutoto wa punda.


Mambo hayo yote yalitukia kusudi yatimie maneno Bwana aliyosema kwa njia ya nabii:


Na kama mutu akiwauliza neno, mumwambie kama Bwana yuko na lazima ya kuwatumia. Na mara moja mutu yule atawaruhusu kuwapeleka.”


Mambo haya yote yamefanyika kusudi maneno yanayosemwa na manabii katika Maandiko Matakatifu yapate kutimia.” Basi wanafunzi wake wote wakamwacha na kukimbia.


Wakamuletea Yesu yule mwana-punda na kutandika nguo zao juu yake. Kisha Yesu akaikaa juu yake.


Wakamuletea Yesu yule mwana-punda, wakatandika nguo zao juu yake na kumupandisha Yesu juu yake.


Kesho yake lile kundi kubwa la watu waliofika kwa sikukuu ya Pasaka wakasikia kwamba Yesu alikuwa katika njia kuja Yerusalema.


“Musiogope ninyi wakaaji wa Sayuni! Angalia, mufalme wenu anakuja, akipanda juu ya mwana-punda.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ