Matayo 21:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200231 Kati ya hawa wawili ni nani aliyefanya sawa na mapenzi ya baba yake?” Wale wakubwa wakajibu: “Ni yule wa kwanza.” Na Yesu akawaambia: “Kweli ninawaambia: Walipishaji wa kodi pamoja na makahaba wataingia mbele yenu katika Ufalme wa Mungu. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |