Katika siku zile Yesu akapita katika mashamba ya ngano kwa siku moja ya Sabato. Wanafunzi wake wakasikia njaa; kwa hiyo wakaanza kuchumachuma masuke ya ngano na kuyakula.
Kwa maana tuko na Kuhani Mukubwa asiyekosa kujua mwenyewe uzaifu wetu. Maana yeye alijaribiwa katika njia zote sawasawa na sisi, lakini hakufanya zambi.