Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 21:13 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

13 Akawaambia: “Imeandikwa hivi katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi.’ Lakini ninyi mumeigeuza kuwa nafasi ya makutano ya wanyanganyi!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 21:13
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Ee Yawe, maagizo yako ni imara; nyumba yako ni takatifu milele.


hao nitawaleta katika mulima wangu mutakatifu, na kuwafurahisha katika nyumba yangu ya maombi; sadaka zao na sadaka za kuteketezwa zitakubaliwa kwenye mazabahu yangu. Maana nyumba yangu itaitwa: Nyumba ya maombi kwa ajili ya watu wote.


Munazani kwamba hekalu hili linalojulikana kwa jina langu limekuwa kimbilio la wanyanganyi? Mujue kwamba mimi nimeona yote munayofanya! –Ni ujumbe wa Yawe.–


Nao wakamujibu: “Betelehemu katika Yudea, kwa maana ilisemwa hivi kwa njia ya nabii:


Kisha akawafundisha maneno haya: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi kwa mataifa yote.’ Lakini ninyi mumeigeuza kuwa nafasi ya kukutania ya wanyanganyi!”


Halafu Yesu akaingia katika hekalu, akaanza kufukuza wachuuzi


na kuwaambia: “Imeandikwa katika Maandiko Matakatifu: ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya maombi.’ Lakini ninyi munaigeuza kuwa nafasi ya kukutania ya wanyanganyi!”


Lakini wamefanya hivi kusudi maneno haya yaliyoandikwa katika Sheria yao yatimie: ‘Wamenichukia pasipo sababu.’


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ