9 Wale walioanza kazi na saa kumi na moja ya magaribi wakakuja, na kila mutu akapokea kikoroti kimoja cha feza.
Na wale waliotangulia kuanza kazi wakakuja, wakizani kwamba watapewa zaidi. Lakini nao vilevile wakapokea kila mutu kikoroti kimoja cha feza.
Akapatana na watumishi wamoja kuwalipa kila mutu kikoroti kimoja cha feza sawa na kawaida, naye akawatuma katika shamba lake.
“Ilipokuwa magaribi, mwenye shamba akamwambia musimamizi wake: ‘Uwaite watumishi na uwalipe mushahara wao, ukianzia kwa wale wa mwisho mpaka kwa wale wa kwanza.’