Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 20:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Karibu na saa kumi na moja akatoka tena, naye akakuta watu wengine wakisimama pale kwenye nafasi ile. Akawauliza: ‘Sababu gani munasimama bure hapa muchana kutwa?’

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 20:6
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Uvivu ni kama usingizi muzito; mutu muvivu atateseka kwa njaa.


Kila kitu unachotaka kufanya ukifanye kwa nguvu zako zote, maana, hakuna kazi, wala wazo, wala maarifa, wala hekima kule katika kuzimu unakokwenda.


Kosa la dada yako Sodoma, lilikuwa hili: yeye pamoja na wabinti wake walipokuwa na chakula nao walifanikiwa sana, walianza kujivuna, wakaacha kuwasaidia wamasikini na wakosefu.


Basi wakaenda. Mwenye shamba akatoka tena na saa sita, kisha na saa tisa, akafanya sawasawa mbele.


Nao wakamujibu: ‘Kwa sababu hakuna mutu aliyetupatia kazi.’ Halafu akawaambia: ‘Ninyi vilevile muende kutumika katika shamba langu la mizabibu.’


Wale walioanza kazi na saa kumi na moja ya magaribi wakakuja, na kila mutu akapokea kikoroti kimoja cha feza.


Imetupasa kufanya kazi za yule aliyenituma wakati kungali muchana, kwa sababu usiku unakaribia, wakati mutu asipoweza kutumika.


(Haya yote ni kwa kuwa wazaliwa wa Atene pamoja na wageni walioishi kati yao, wanapitisha wakati wao wote kwa kueleza na kusikiliza habari mupya mupya.)


Basi musigeuke kuwa wavivu, lakini mufuate mufano wa wale wanaoamini na kuvumilia. Kwa njia hiyo wanapokea yale Mungu aliyoahidi kuwapa.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ