Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 20:32 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

32 Yesu akasimama na kuwaita. Akawauliza: “Munataka niwafanyie nini?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 20:32
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Bwana wetu Yawe anasema hivi: Waisraeli wataniomba niwafanye kuwa wengi kama kundi la kondoo, nami nitawafanya hivyo.


Yesu akamwuliza: “Unataka nini?” Naye akamujibu: “Utakapokuwa katika Ufalme wako, uwaruhusu hawa wana wangu wawili kuikaa, mumoja kwa upande wako wa kuume na mwingine kwa upande wako wa kushoto.”


Kundi la watu wakawakaripia na kuwaambia wanyamaze. Lakini wale vipofu wakaendelea kulalamika kwa nguvu, wakisema: “Mwana wa Daudi, utusikilie huruma!”


Nao wakamujibu: “Bwana, tunakuomba utuponyeshe macho.”


Ni kwa sababu hii, wakati uliponitumia wajumbe, nilikuja pasipo kusita. Basi sasa ningependa kujua kwa sababu gani muliniita.”


Musijisumbue juu ya neno lolote, lakini katika kila neno mutoe mahitaji yenu kwa Mungu, mukimwomba, mukimusihi na kumushukuru.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ