Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 20:31 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

31 Kundi la watu wakawakaripia na kuwaambia wanyamaze. Lakini wale vipofu wakaendelea kulalamika kwa nguvu, wakisema: “Mwana wa Daudi, utusikilie huruma!”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 20:31
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Yesu hakumujibu hata neno moja. Halafu wanafunzi wake wakamufikia na kumusihi: “Umwambie aende kwa maana anatuuzi na makelele.”


Watu wamoja walimuletea Yesu watoto kusudi awawekee mikono na kuwaombea, lakini wanafunzi wakawakaripia watu wale.


Na kulikuwa vipofu wawili waliokuwa wakiikaa pembeni ya njia, nao wakasikia kwamba Yesu anapita. Kwa hiyo wakalalamika, wakisema: “Bwana, mwana wa Daudi, utusikilie huruma!”


Yesu akasimama na kuwaita. Akawauliza: “Munataka niwafanyie nini?”


Yesu akaondoka toka pale, naye alipokuwa katika njia, vipofu wawili wakamufuata wakilalamika, wakisema: “Utuhurumie, Ee Mwana wa Daudi!”


Watu waliotangulia wakamukaripia na kumunyamazisha, lakini alizidi kulalamika, akisema: “Mwana wa Daudi, unisikilie huruma!”


Mudumu katika kuomba. Munapoomba mukeshe na kumutolea Mungu shukrani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ