Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 2:20 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

20 Akamwambia: “Amuka, utwae mutoto pamoja na mama yake, na urudie nao katika inchi ya Israeli, kwa maana wale waliotafuta kumwua wamekwisha kufa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 2:20
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Hadadi aliposikia kule Misri kwamba Daudi na Yoabu jemadari wa waaskari walikuwa wamekufa, alimwambia mufalme wa Misri: “Uniruhusu niondoke nirudi katika inchi yangu.”


Kwa sababu hiyo, Solomono alijaribu kumwua Yeroboamu. Lakini Yeroboamu akakimbilia Misri kwa Sisaki mufalme wa Misri, akakaa kule mpaka Solomono alipokufa.


Musa akiwa bado katika inchi ya Midiani, Yawe akamwambia: “Rudi Misri kwa sababu wale wote waliotaka kukuua wamekwisha kufa.”


Wale watu wenye elimu walipokwisha kwenda, malaika wa Bwana akamutokea Yosefu katika ndoto na kumwambia: “Amuka, utwae mutoto pamoja na mama yake na mukimbilie Misri. Mukae kule mpaka nitakapokuambia kwamba urudie, kwa maana Herode anamutafuta mutoto kusudi amwue.”


Herode alipokuwa amekwisha kufa, malaika wa Bwana akamutokea Yosefu katika ndoto kule Misri.


Basi Yosefu akaamuka, akamutwaa mutoto pamoja na mama yake na kurudia katika inchi ya Israeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ