Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 19:26 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

26 Yesu akawaangalia na kuwaambia: “Jambo hilo haliwezi kutendeka kwa uwezo wa mwanadamu, lakini kwa uwezo wa Mungu, yote yanawezekana.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 19:26
16 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kuna jambo lolote lisilowezekana kwa Yawe? Nitakurudilia wakati uliopangwa, kwa wakati kama huu katika mwaka, na Sara atakuwa na mutoto mwanaume.”


Unga ndani ya chungu haukupunguka, wala mafuta katika chupa hayakuisha sawa kabisa na neno la Yawe alilomwambia Elia aseme.


Ninajua kwamba unaweza kila kitu, lolote unalokusudia haliwezi kuzuiliwa.


Ee Yawe, ee Mungu wangu, wewe unayevunja waadui zangu wote mataya, unayeponda waovu meno, simama sasa uniokoe!


Musitegemee kutesa, musijisifie mali ya wizi; kama mali zikiongezeka, musizitegemee.


Ee Bwana wangu Yawe, ni wewe ambaye kwa nguvu zako nyingi na uwezo wako mukubwa, umeziumba mbingu na dunia.


Mimi ni Yawe, Mungu wa watu wote. Hakuna lolote linaloweza kunishinda.


Yawe wa majeshi anasema hivi: Kwa watu hawa waliobaki, hali hii inaonekana kuwa kitu kisichowezekana; lakini munazani haiwezekani kwangu mimi? –Ni ujumbe wa Yawe wa majeshi.


Yawe akamujibu Musa: Uwezo wangu umepunguka? Utaona basi kama neno langu litakuwa la kweli kwako au hapana.


Wanafunzi waliposikia maneno haya, wakashangaa sana na kuuliza: “Ni nani basi anayeweza kuokolewa?”


Halafu Petro akamwuliza: “Angalia, sisi tumeacha vyote na kukufuata wewe! Basi na sisi tutapata nini?”


Yesu akawaangalia na kuwaambia: “Kwa mwanadamu haiwezekani, lakini kwa Mungu si vile, kwa maana mambo yote yanawezekana kwa Mungu.”


Kwa maana hakuna kisichowezekana kwa Mungu.”


Yesu akajibu: “Mambo yasiyoweza kutendeka kwa uwezo wa mwanadamu yanawezekana kwa Mungu.”


kisha wakianguka, haiwezekani kuwarudisha hata wapate kugeuka mara ingine toka katika matendo yao mabaya. Kwa sababu wamemutundika wao wenyewe Mwana wa Mungu mara ya pili na kumupatisha haya mbele ya watu.


Yonatani akamwambia yule kijana aliyemubebea silaha: “Kuja, tuende kwenye ile kambi ya hawa watu wasiotahiriwa. Labda Yawe atatusaidia, maana Yawe haokoi kwa kutegemea wingi au uchache wa watu.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ