Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




Matayo 19:10 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

10 Wanafunzi wake wakamwambia: “Ikiwa hayo ndiyo mapaswa ya mume kwa muke, hakuna mafaa ya kuoa.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




Matayo 19:10
15 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”


Anayemupata muke amepata kizuri; ni zawadi kutoka kwa Yawe.


Afazali kuishi katika jangwa kuliko kukaa na mwanamuke mugomvi na muchokozi.


Afazali kuishi pembeni juu ya paa, kuliko kuishi ndani ya nyumba pamoja na mwanamuke mugomvi.


Yesu akawajibu: “Si watu wote wanaoweza kukubali neno hilo munalosema, isipokuwa tu wale wanaojaliwa na Mungu.


Na sasa mimi ninawaambia: kila mutu anayeachana na muke wake, isipokuwa kwa sababu ya uzinzi tu, na kumwoa muke mwingine, anazini.”


Na kwa wale wasiooa bado na wajane, ninawaambia kwamba ingekuwa vema waendelee kuishi peke yao kama vile mimi.


Wao wanafundisha kwamba ni vibaya kuoana, na wanawakataza watu kula vyakula fulani fulani. Lakini Mungu aliumba vyakula vile kusudi watu waliokwisha kumwamini na kutambua ukweli wapate kuvitumia wakisha kumushukuru.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ