Matayo 18:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 “Kama mukono wako au muguu wako ukikukosesha, uukate na kuutupa mbali! Ni heri kwako kuingia kwenye uzima wa kweli ukikuwa na mukono mumoja au ukikuwa kilema. Hiyo ni vizuri kuliko kuwa na mikono miwili au miguu miwili na kutupwa katika moto kwa milele. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |